KUSUDI LA SOMO.
lengo la somo letu hili ni kujifunza siri zilizopo kwenye uvumilivu, na somo letu lina sehemu tatu. 1.maana ya uvumilivu. 2. faida za uvumilivu. 3.hasara za kukosa uvumilivu. ..Leo nataka tujifunze hasara zipi zinaweza kutokana na ukosefu wa uvumilivu. ...Kabla ya kuendelea ingia Google search na kuandika kalivubha blog siri za uvumilivu. ..hiyo itakusaidia kuendana na sehemu hii ya mwisho.
lengo la somo letu hili ni kujifunza siri zilizopo kwenye uvumilivu, na somo letu lina sehemu tatu. 1.maana ya uvumilivu. 2. faida za uvumilivu. 3.hasara za kukosa uvumilivu. ..Leo nataka tujifunze hasara zipi zinaweza kutokana na ukosefu wa uvumilivu. ...Kabla ya kuendelea ingia Google search na kuandika kalivubha blog siri za uvumilivu. ..hiyo itakusaidia kuendana na sehemu hii ya mwisho.
3.HASARA ZA KUKOSA UVUMILIVU .
Mambo karibia yote yenye matokeo mazuri yanahitaji uvumilivu ili kuweza kufanikiwa kupata matokeo hayo mazuri. .....nataka tujifunze hasara za uvumilivu kwenye sehemu hizi tatu. .mahusiano ,biashara na mafanikio kwa ujumla. .....karibu tuendelee.
MAHUSIANO; Rafiki yangu mmoja aliwahi kuniambia kuwa anahisi kuwa anabahati mbaya, kwani huwa hadumu kwenye mahusiano. ..utafiti unadhibitisha kuwa watu wengi wameacha watu sahihi sababu tu ya kukosa uvumilivu, ..Mahusiano yana changamoto zake, na hii hutokana na mahusiano kuhusisha watu wenye asili tofauti....kumbe kuna mazingira yatahitaji uvumilivu dhidi ya madhaifu, uvumilivu dhidi ya mabadiliko ya hisia ambayo yanaweza kuwa chanzo cha maamuzi mabovu.
BIASHARA. Kosa ambalo wengi tunalifanya kwenye biashara ni kutengeneza imani ya kupata mafanikio ya haraka. ...Hili ni kosa kwa sababu biashara karibu zote zinahitaji muda wa kutosha ili kutoa faida kamili, huo muda wa kutosha unahitaji mtu mvumilivu, ...pia kwenye biashara kuna hasara, na mara nyingine kuna kuanza upya, yote hayo yanahitaji uvumilivu wa kutosha. .ukikosa uvumilivu ni ngumu kufanikiwa katika biashara...
MAFANIKIO KWA UJUMLA; kufanikiwa kwa ujumla ni kuwa kwenye hatua ambayo ni matokeo ya kushinda maumivu ya UVUMILIVU. ...Msanii wa filamu maarufu kwa jina la Sylivester Stalone Rambo aliwahi kusema alijaribu zaidi ya mara 70 na kushindwa mara zote, ila kilicho msaidia ni uvumilivu wake, hadi sasa ni muigizaji maarufu dunianI. inahitaji uvumilivu wa hali ya juu katika safari yetu ya KUFIKIA NDOTO ZETU. ...Ukikosa uvumilivu ni ngumu kufanikiwa kwa jambo lolote lile. ....jiulize ni maamuzi gani uliyafanya kwa kukosa uvumilivu?
MAFANIKIO KWA UJUMLA; kufanikiwa kwa ujumla ni kuwa kwenye hatua ambayo ni matokeo ya kushinda maumivu ya UVUMILIVU. ...Msanii wa filamu maarufu kwa jina la Sylivester Stalone Rambo aliwahi kusema alijaribu zaidi ya mara 70 na kushindwa mara zote, ila kilicho msaidia ni uvumilivu wake, hadi sasa ni muigizaji maarufu dunianI. inahitaji uvumilivu wa hali ya juu katika safari yetu ya KUFIKIA NDOTO ZETU. ...Ukikosa uvumilivu ni ngumu kufanikiwa kwa jambo lolote lile. ....jiulize ni maamuzi gani uliyafanya kwa kukosa uvumilivu?
Karibu wiki ijayo.
See you at the top.
scientist Saul kalivubha
0652 134707.
Be blessed!
ReplyDeleteNice kaka.
ReplyDeleteGud gud
ReplyDelete