KUSUDI LA SOMO.
Leo nataka tujifunze somo la kuanguka kwa mtu aliyefanikiwa, unaweza kuhisi tofauti kidogo kwa kuona somo hili kwenye blog hii. ..ila ni hali ambayo wewe pia unaweza kuwa shahidi kwa kuona baadhi ya watu wakipoteza mafanikio yao makubwa....kwa hiyo nataka tuangalie baadhi ya sababu zinazofanya watu wapoteze mafanikio yao, kwa kujua sababu hizo itakuwa msaada kwetu kulinda mafanikio yetu.
Zipo sababu nyingi ila leo nataka tuangalie sababu kuu tatu......karibu.
SABABU ZA KUANGUKA KWA MTU ALIYEFANIKIWA.
1.Marafiki wapya;siku zote mtu aliyefanikiwa huwa anakuwa
tofauti na wengine, mafanikio yake yanavuta watu wengi kuwa karibu yake, watu hao ni pamoja na wale ambao waliona kuwa hawezi kipindi alipoanza safari ya mafanikio. .....hiki ni kipindi kigumu sana kwa mtu aliyefanikiwa, ni kipindi kigumu kwake kwa sababu ya ugumu wa kutambua nani rafiki wa kweli kwake, .... mafanikio yake hupotea pale atapoanza kushirikiana na rafiki wanaoshangalia mafanikio yake na kusahau rafiki waliomfaraji kwenye shida. ..siku zote rafiki anayeshagalia mafanikio yako huwa sio rafiki mzuri, maana kufata mafanikio yako na sio uhalisia wako
.
tofauti na wengine, mafanikio yake yanavuta watu wengi kuwa karibu yake, watu hao ni pamoja na wale ambao waliona kuwa hawezi kipindi alipoanza safari ya mafanikio. .....hiki ni kipindi kigumu sana kwa mtu aliyefanikiwa, ni kipindi kigumu kwake kwa sababu ya ugumu wa kutambua nani rafiki wa kweli kwake, .... mafanikio yake hupotea pale atapoanza kushirikiana na rafiki wanaoshangalia mafanikio yake na kusahau rafiki waliomfaraji kwenye shida. ..siku zote rafiki anayeshagalia mafanikio yako huwa sio rafiki mzuri, maana kufata mafanikio yako na sio uhalisia wako
.
2.Kulewa sifa; sifa ni sehemu ya lazima kwamafanikio yako. .tatizo sio kusifiwa, tatizo ni kuzitawala hisia za furaha itokanayo na sifa. ....Wanasikolojia tunaamini kuwa tabia nyingi zitokanazo na sifa huwa ni za uharibifu na majivuno. ..mtu aliyefanikiwa akianza kuziishi tabia zitokanazo na kusifiwa anakuwa kwenye wakati mgumu sana wa kusahau alipotoka na kubadili njia ya kumpeleka aendapo. ...hatari yake ni kupoteza mafanikio yake.
3.Kukosa maandalizi kabla; Kuna watu wanafanikiwa bila kujiandaa kuyaishi maisha ya mafanikio, ..maisha ya mafanikio yana changamoto zake, mtu aliyefanikiwa kuipitia. .lazima watu wasifie tena kubwa sana. ..ni muhimu mtu ukafahamu wapi unaelekea, na nini utakibeba, kutambua hilo itakusaidia kuwa makini na mambo ambayo yapo nje ya kuendeza mafanikio yako. ..kinyume chake ni kupoteza mafanikio.
Kufikia ndoto zako sio kushinda, ushindi ni kuendeza mafanikio yako. ..
Tukutane wiki ijayo.
See you at the top.
scientist Saul kalivubha.
0652 134707.
Thank you alot...
ReplyDeletewelcome again
ReplyDeleteThanks mkuu
ReplyDeleteNimekuelewa mkuu
ReplyDelete